Hagai 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Kwa maana Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Bado mara moja—ni kitambo kidogo+—nami nitatikisa mbingu na dunia na bahari na nchi kavu.’+ Waebrania 12:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Wakati huo sauti yake iliitikisa dunia,+ lakini sasa ameahidi, akisema: “Bado mara moja tena nitaitikisa, si dunia peke yake, bali pia na mbingu.”+
6 “Kwa maana Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Bado mara moja—ni kitambo kidogo+—nami nitatikisa mbingu na dunia na bahari na nchi kavu.’+
26 Wakati huo sauti yake iliitikisa dunia,+ lakini sasa ameahidi, akisema: “Bado mara moja tena nitaitikisa, si dunia peke yake, bali pia na mbingu.”+