Hagai 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye Yehova akaiamsha roho+ ya Zerubabeli mwana wa Shealtieli, gavana wa Yuda, na roho ya Yoshua+ mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu, na roho ya mabaki yote ya watu; nao wakaanza kuingia na kufanya kazi katika nyumba ya Yehova wa majeshi Mungu wao.+ Hagai 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Tafadhali, mwambie Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli,+ gavana wa Yuda,+ na Yoshua+ mwana wa Yehosadaki+ kuhani mkuu, na mabaki ya watu, ukisema,
14 Naye Yehova akaiamsha roho+ ya Zerubabeli mwana wa Shealtieli, gavana wa Yuda, na roho ya Yoshua+ mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu, na roho ya mabaki yote ya watu; nao wakaanza kuingia na kufanya kazi katika nyumba ya Yehova wa majeshi Mungu wao.+
2 “Tafadhali, mwambie Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli,+ gavana wa Yuda,+ na Yoshua+ mwana wa Yehosadaki+ kuhani mkuu, na mabaki ya watu, ukisema,