Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli+ na Shimei; na wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania (na Shelomithi alikuwa dada yao);

  • Ezra 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye Yeshua+ mwana wa Yehosadaki na ndugu zake makuhani na Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli+ na ndugu zake wakasimama na kujenga madhabahu ya Mungu wa Israeli, ili kutoa dhabihu za kuteketezwa juu yake, kulingana na yaliyoandikwa+ katika sheria ya Musa mtu wa Mungu wa kweli.

  • Ezra 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli+ na Yeshua+ mwana wa Yehosadaki wakasimama na kuanza kujenga upya nyumba ya Mungu, iliyokuwa Yerusalemu; na manabii+ wa Mungu walikuwa pamoja nao kuwapa msaada.

  • Mathayo 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Baada ya ule uhamisho wa kwenda Babiloni Yekonia akamzaa Shealtieli;+

      Shealtieli akamzaa Zerubabeli;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki