11 Vyombo vyote vya dhahabu na vya fedha vilikuwa 5,400. Sheshbazari+ alileta kila kitu pamoja na wale waliohamishwa+ ambao walitoka Babiloni kwenda Yerusalemu.
1Katika mwaka wa pili wa mfalme Dario,+ mwezi wa sita, siku ya kwanza ya mwezi huo, neno la Yehova lilikuja kupitia nabii Hagai+ kwa ajili ya Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli,+ gavana wa Yuda,+ na kwa ajili ya Yoshua+ mwana wa Yehosadaki+ kuhani mkuu, na kusema:
14 Naye Yehova akaiamsha roho+ ya Zerubabeli mwana wa Shealtieli, gavana wa Yuda, na roho ya Yoshua+ mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu, na roho ya mabaki yote ya watu; nao wakaanza kuingia na kufanya kazi katika nyumba ya Yehova wa majeshi Mungu wao.+