Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Vyombo vyote vya dhahabu na vya fedha vilikuwa 5,400. Sheshbazari+ alileta kila kitu pamoja na wale waliohamishwa+ ambao walitoka Babiloni kwenda Yerusalemu.

  • Nehemia 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 wale waliokuja pamoja na Zerubabeli,+ Yeshua,+ Nehemia, Azaria, Raamia, Nahamani, Mordekai,+ Bilshani, Misperethi, Bigvai, Nehumu, Baana.

      Hesabu ya wanaume wa watu wa Israeli:

  • Hagai 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Katika mwaka wa pili wa mfalme Dario,+ mwezi wa sita, siku ya kwanza ya mwezi huo, neno la Yehova lilikuja kupitia nabii Hagai+ kwa ajili ya Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli,+ gavana wa Yuda,+ na kwa ajili ya Yoshua+ mwana wa Yehosadaki+ kuhani mkuu, na kusema:

  • Hagai 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye Yehova akaiamsha roho+ ya Zerubabeli mwana wa Shealtieli, gavana wa Yuda, na roho ya Yoshua+ mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu, na roho ya mabaki yote ya watu; nao wakaanza kuingia na kufanya kazi katika nyumba ya Yehova wa majeshi Mungu wao.+

  • Hagai 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Mwambie Zerubabeli gavana wa Yuda,+ ‘Nitazitikisa mbingu na dunia.+

  • Mathayo 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Baada ya ule uhamisho wa kwenda Babiloni Yekonia akamzaa Shealtieli;+

      Shealtieli akamzaa Zerubabeli;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki