15 Ndivyo alivyompeleka Yehoyakini+ uhamishoni Babiloni;+ na mama+ ya mfalme na wake za mfalme na maofisa wake wa makao+ ya mfalme na watu wa kwanza kabisa wa nchi akawapeleka wakiwa watu waliohamishwa kutoka Yerusalemu mpaka Babiloni.
20 Tena akawachukua mateka mpaka Babiloni wale waliobaki kutokana na upanga,+ nao wakawa watumishi wake+ na wa wanawe mpaka mamlaka ya kifalme ya Uajemi+ ilipoanza kutawala;