Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na katika mwaka wa pili wa kuja kwao kwenye nyumba ya Mungu wa kweli huko Yerusalemu,+ katika mwezi wa pili, Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli+ na Yeshua+ mwana wa Yehosadaki na wengineo wa ndugu zao, makuhani na Walawi, na wale wote waliokuwa wametoka utekwani+ kwenda Yerusalemu wakaanza kazi; basi wakawaweka katika vyeo Walawi+ kuanzia umri wa miaka 20 na zaidi wawe wasimamizi wa kazi ya nyumba ya Yehova.+

  • Ezra 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli+ na Yeshua+ mwana wa Yehosadaki wakasimama na kuanza kujenga upya nyumba ya Mungu, iliyokuwa Yerusalemu; na manabii+ wa Mungu walikuwa pamoja nao kuwapa msaada.

  • Hagai 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye Yehova akaiamsha roho+ ya Zerubabeli mwana wa Shealtieli, gavana wa Yuda, na roho ya Yoshua+ mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu, na roho ya mabaki yote ya watu; nao wakaanza kuingia na kufanya kazi katika nyumba ya Yehova wa majeshi Mungu wao.+

  • Zekaria 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye akanionyesha Yoshua+ kuhani mkuu akiwa amesimama mbele ya malaika wa Yehova, naye Shetani+ akiwa amesimama kwenye mkono wake wa kuume ili kumpinga.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki