3 ndipo Yehova Mungu wako atakaporudisha mateka+ wako pia na kukuonyesha rehema+ na kukukusanya tena kutoka kwa vikundi vyote vya watu ambako Yehova Mungu wako amekutawanya.+
6 Hawa ndio wana wa wilaya ya utawala+ waliokuja kutoka utekwani+ mwa wale waliohamishwa ambao Nebukadneza+ mfalme wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni,+ na ambao baadaye walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye jiji lake mwenyewe;+
7 Nalo litakuwa eneo la mabaki ya nyumba ya Yuda.+ Humo watalisha. Katika nyumba za Ashkeloni, wakati wa jioni, watalala wakiwa wamejinyoosha. Kwa maana Yehova Mungu wao atawakazia fikira zake,+ akusanye na kurudisha walio mateka kati yao.”+