11 Vyombo vyote vya dhahabu na vya fedha vilikuwa 5,400. Sheshbazari+ alileta kila kitu pamoja na wale waliohamishwa+ ambao walitoka Babiloni kwenda Yerusalemu.
7 Wewe ni nani, Ee mlima mkubwa?+ Utakuwa nchi tambarare mbele ya Zerubabeli.+ Naye ataleta jiwe la juu kabisa.+ Nalo litapaaziwa sauti:+ “Linavutia kama nini! Linavutia kama nini!” ’ ”+