3 Hata hivyo, Zerubabeli na Yeshua na viongozi wa koo za Israeli wakawaambia: “Hamna haki ya kujenga pamoja nasi nyumba ya Mungu wetu,+ kwa maana sisi wenyewe tutamjengea Yehova Mungu wa Israeli, kama alivyotuamuru Mfalme Koreshi, mfalme wa Uajemi.”+