Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 2:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Sasa Sanbalati Mhoroni, Tobia+ ofisa* Mwamoni,+ na Geshemu Mwarabu+ waliposikia jambo hilo, wakaanza kutudhihaki+ na kutudharau wakisema: “Mnafanya nini? Je, mnamwasi mfalme?”+ 20 Lakini nikawajibu: “Mungu wa mbinguni, Ndiye atakayetufanikisha,+ nasi watumishi wake tutasimama na kujenga; lakini ninyi hamna fungu wala haki ya kudai chochote wala kumbukumbu* katika Yerusalemu.”+

  • Yohana 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa hiyo mwanamke huyo Msamaria akamuuliza: “Wewe ni Myahudi, nami ni mwanamke Msamaria, unawezaje kuniomba maji ya kunywa?” (Kwa maana Wayahudi hawashirikiani na Wasamaria.)+

  • Yohana 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ninyi mnaabudu msichokijua;+ sisi tunaabudu tunachokijua, kwa sababu wokovu huanza kwa Wayahudi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki