Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 4:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Maadui wa Yuda na Benjamini+ waliposikia kwamba watu waliorudi kutoka uhamishoni+ walikuwa wakimjengea hekalu Yehova Mungu wa Israeli, 2 mara moja wakamfikia Zerubabeli na viongozi wa koo* na kuwaambia: “Acheni tujenge pamoja nanyi; kwa maana, sisi pia tunamwabudu* Mungu wenu+ na tumekuwa tukimtolea dhabihu tangu siku za Mfalme Esar-hadoni+ wa Ashuru, aliyetuleta hapa.”+ 3 Hata hivyo, Zerubabeli na Yeshua na viongozi wa koo* za Israeli wakawaambia: “Hamna haki ya kujenga pamoja nasi nyumba ya Mungu wetu,+ kwa maana sisi wenyewe tutamjengea Yehova Mungu wa Israeli, kama alivyotuamuru Mfalme Koreshi, mfalme wa Uajemi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki