-
2 Wafalme 17:33, 34Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
33 Kwa hiyo walimwogopa Yehova, lakini waliabudu miungu yao wenyewe kulingana na dini* ya mataifa ambamo walitolewa.+
34 Mpaka leo wanafuata dini* zao za awali. Hakuna yeyote kati yao anayemwabudu* Yehova, na hakuna yeyote anayefuata maagizo yake, hukumu zake, na Sheria, na amri ambayo Yehova aliwapa wana wa Yakobo, ambaye alibadili jina lake na kumwita Israeli.+
-