24 Kisha mfalme wa Ashuru akawaleta watu kutoka Babiloni, Kutha, Ava, Hamathi, na Sefarvaimu+ na kuwaweka katika majiji ya Samaria ili waishi humo badala ya Waisraeli; nao wakamiliki Samaria na kuishi katika majiji yake.
41 Kwa hiyo mataifa hayo yakamwogopa Yehova,+ lakini yalikuwa pia yakiabudu sanamu zao za kuchongwa. Wana wao na wajukuu wao wamekuwa wakitenda kama mababu zao mpaka leo hii.