Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 4:6-8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mwanzoni mwa utawala wa Ahasuero, waliandika mashtaka dhidi ya wakaaji wa Yuda na Yerusalemu. 7 Na katika siku za utawala wa Mfalme Artashasta wa Uajemi, Bishlamu, Mithredathi, Tabeeli, na wenzake walimwandikia Mfalme Artashasta; wakaitafsiri barua hiyo katika Kiaramu,+ na kuiandika kwa herufi za Kiaramu.*

      8 * Rehumu ofisa mkuu wa serikali na mwandishi Shimshai, walimwandikia Mfalme Artashasta barua ifuatayo dhidi ya Yerusalemu:

  • Nehemia 4:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Sasa mara tu Sanbalati, Tobia,+ Waarabu,+ Waamoni, na Waashdodi+ waliposikia kwamba kazi ya kurekebisha kuta za Yerusalemu inasonga mbele na kwamba mianya ilikuwa ikizibwa, wakakasirika sana. 8 Wakapanga njama pamoja ili kupigana na Yerusalemu na kuleta vurugu humo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki