Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Koreshi mfalme wa Uajemi+ amesema hivi, ‘Yehova Mungu wa mbinguni amenipa falme zote za dunia,+ naye mwenyewe amenipa utume nimjengee nyumba katika Yerusalemu, huko Yuda.+ Yeyote aliye katikati yenu ninyi watu wake wote,+ Yehova Mungu wake na awe pamoja naye.+ Basi apande na kwenda.’”+

  • Ezra 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Na katika mwaka wa kwanza wa Koreshi+ mfalme wa Uajemi, ili neno la Yehova kwa kinywa cha Yeremia+ litimizwe, Yehova aliiamsha+ roho ya Koreshi mfalme wa Uajemi, hivi kwamba akatangaza mwito+ katika utawala wake wote, na pia kwa maandishi,+ akisema:

  • Ezra 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Katika mwaka wa kwanza wa Mfalme Koreshi,+ Mfalme Koreshi alitoa agizo kuhusu nyumba ya Mungu katika Yerusalemu: Nyumba hiyo na ijengwe upya iwe mahali pao pa kutolea dhabihu,+ na misingi yake iwekwe, urefu wake uwe mikono 60, upana wake mikono 60,+

  • Isaya 44:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Yule anayesema kumhusu Koreshi,+ ‘Yeye ni mchungaji wangu, naye atatenda kikamilifu mapendezi yangu yote’;+ neno langu kuhusu Yerusalemu, ‘Atajengwa upya,’ na kuhusu hekalu, ‘Msingi wako utawekwa.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki