1 Mambo ya Nyakati 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na wana wa Yosia walikuwa Yohanani mzaliwa wa kwanza, Yehoyakimu+ wa pili, Sedekia+ wa tatu, Shalumu wa nne. Yeremia 37:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Na Mfalme Sedekia+ mwana wa Yosia+ akaanza kutawala mahali pa Konia+ mwana wa Yehoyakimu,+ ambaye Nebukadreza mfalme wa Babiloni alimfanya kuwa mfalme katika nchi ya Yuda.+
15 Na wana wa Yosia walikuwa Yohanani mzaliwa wa kwanza, Yehoyakimu+ wa pili, Sedekia+ wa tatu, Shalumu wa nne.
37 Na Mfalme Sedekia+ mwana wa Yosia+ akaanza kutawala mahali pa Konia+ mwana wa Yehoyakimu,+ ambaye Nebukadreza mfalme wa Babiloni alimfanya kuwa mfalme katika nchi ya Yuda.+