12 Mwishowe Yehoyakini mfalme wa Yuda akatoka kumwendea mfalme wa Babiloni,+ yeye pamoja na mama+ yake na watumishi wake na wakuu wake na maofisa wake wa makao ya mfalme; na mfalme wa Babiloni akamchukua katika mwaka wake wa nane+ wa kuwa mfalme.
9 Yehoyakini+ alikuwa na umri wa miaka kumi na minane alipoanza kutawala, naye akatawala miezi mitatu+ na siku kumi katika Yerusalemu; naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+
24 “‘Kama ninavyoishi,’ asema Yehova, ‘hata kama Konia+ mwana wa Yehoyakimu,+ mfalme wa Yuda, angekuwa pete ya muhuri+ kwenye mkono wangu wa kuume, ningekung’oa wewe kutoka hapo!+