26 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya+ machoni pa Yehova, akaendelea kutembea katika njia ya baba yake+ na katika dhambi yake ambayo kwa hiyo alisababisha Israeli kutenda dhambi.+
52 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya+ machoni pa Yehova, akaendelea kutembea katika njia ya baba yake+ na katika njia ya mama yake+ na katika njia ya Yeroboamu+ mwana wa Nebati, aliyesababisha Israeli kutenda dhambi.+
24 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ Hakuziacha dhambi za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi.+