Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 15:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya+ machoni pa Yehova, akaendelea kutembea katika njia ya baba yake+ na katika dhambi yake ambayo kwa hiyo alisababisha Israeli kutenda dhambi.+

  • 1 Wafalme 22:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya+ machoni pa Yehova, akaendelea kutembea katika njia ya baba yake+ na katika njia ya mama yake+ na katika njia ya Yeroboamu+ mwana wa Nebati, aliyesababisha Israeli kutenda dhambi.+

  • 2 Wafalme 15:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ Hakuziacha dhambi za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki