1 Wafalme 16:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na Ahabu mwana wa Omri akatenda mabaya zaidi machoni pa Yehova kuliko wote waliomtangulia.+ 2 Wafalme 8:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Naye akaendelea kutembea katika njia ya nyumba ya Ahabu,+ akazidi kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ kama nyumba ya Ahabu, kwa maana alikuwa mtu wa jamaa ya nyumba ya Ahabu kupitia ndoa.+ 2 Mambo ya Nyakati 22:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yeye pia alitembea katika njia za nyumba ya Ahabu,+ kwa maana mama yake+ alikuwa mshauri wake katika kutenda maovu.
27 Naye akaendelea kutembea katika njia ya nyumba ya Ahabu,+ akazidi kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ kama nyumba ya Ahabu, kwa maana alikuwa mtu wa jamaa ya nyumba ya Ahabu kupitia ndoa.+
3 Yeye pia alitembea katika njia za nyumba ya Ahabu,+ kwa maana mama yake+ alikuwa mshauri wake katika kutenda maovu.