Yeremia 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Kwa maana Yehova amesema hivi kuhusu nyumba ya mfalme wa Yuda, ‘Wewe ni kama Gileadi kwangu, kichwa cha Lebanoni.+ Hakika nitakufanya uwe nyika;+ nayo majiji, hakuna hata moja litakalokaliwa.+
6 “Kwa maana Yehova amesema hivi kuhusu nyumba ya mfalme wa Yuda, ‘Wewe ni kama Gileadi kwangu, kichwa cha Lebanoni.+ Hakika nitakufanya uwe nyika;+ nayo majiji, hakuna hata moja litakalokaliwa.+