Yeremia 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Kwa maana Yehova anasema hivi kuhusu nyumba ya mfalme wa Yuda,‘Wewe ni kama Gileadi kwangu,Kama kilele cha Lebanoni. Lakini nitakufanya uwe nyika;Hakuna jiji lako hata moja litakalokaliwa.+
6 “Kwa maana Yehova anasema hivi kuhusu nyumba ya mfalme wa Yuda,‘Wewe ni kama Gileadi kwangu,Kama kilele cha Lebanoni. Lakini nitakufanya uwe nyika;Hakuna jiji lako hata moja litakalokaliwa.+