11 Ndipo nikasema: “Ni mpaka wakati gani, Ee Yehova?”+ Kisha akasema: “Ni mpaka majiji yabomoke, yawe bila mkaaji, na nyumba ziwe bila mtu wa udongo, na nchi iharibiwe iwe ukiwa;+
34 Nami nitaikomesha sauti ya kufurahi na sauti ya kushangilia kutoka katika majiji ya Yuda na kutoka katika barabara za Yerusalemu sauti ya bwana-arusi na sauti ya bibi-arusi;+ kwa maana nchi itakuwa mahali palipofanywa ukiwa.’”+