Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Nami nitawatawanya ninyi katikati ya mataifa,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yenu;+ nayo nchi yenu itakuwa ukiwa,+ na majiji yenu yatakuwa bomoko lenye ukiwa.

  • Isaya 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nchi yenu ni ukiwa,+ majiji yenu yameteketezwa kwa moto;+ udongo wenu—mbele ya macho yenu wageni+ wanaula,+ na ukiwa huo ni kama maangamizi yaliyofanywa na wageni.+

  • Isaya 3:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na milango yake italazimika kuomboleza na kuhuzunika,+ naye hakika ataachwa ukiwa. Atakaa chini kwenye udongo.”+

  • Isaya 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo nikasema: “Ni mpaka wakati gani, Ee Yehova?”+ Kisha akasema: “Ni mpaka majiji yabomoke, yawe bila mkaaji, na nyumba ziwe bila mtu wa udongo, na nchi iharibiwe iwe ukiwa;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki