9 “Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, ninaikomesha kutoka mahali hapa mbele ya macho yenu sauti ya furaha na sauti ya kushangilia, sauti ya bwana-arusi na sauti ya bibi-arusi.’+
10 Nami nitaangamiza kutoka ndani yao sauti ya furaha na sauti ya shangwe,+ sauti ya bwana-arusi na sauti ya bibi-arusi,+ sauti ya jiwe la kusagia la mkononi+ na nuru ya taa.+