Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 24:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Furaha ya matari imekoma, kelele za waliosisimuka sana zimekoma, furaha ya kinubi imekoma.+

  • Yeremia 16:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, ninaikomesha kutoka mahali hapa mbele ya macho yenu sauti ya furaha na sauti ya kushangilia, sauti ya bwana-arusi na sauti ya bibi-arusi.’+

  • Yeremia 25:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nami nitaangamiza kutoka ndani yao sauti ya furaha na sauti ya shangwe,+ sauti ya bwana-arusi na sauti ya bibi-arusi,+ sauti ya jiwe la kusagia la mkononi+ na nuru ya taa.+

  • Ezekieli 26:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “‘Nami nitafanya kelele za kuimba kwako zikome,+ na sauti ya vinubi vyako haitasikiwa tena.+

  • Hosea 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami hakika nitakomesha furaha+ yake yote, sherehe+ yake, mwezi wake mpya+ na sabato yake na majira yake yote ya sherehe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki