Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 26:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na Mfalme Yehoyakimu+ na wanaume wake wote wenye nguvu na wakuu wote wakayasikia maneno yake, na mfalme akaanza kutafuta kumuua.+ Uriya aliposikia habari hizo, akaogopa+ mara moja, akakimbia, akaingia Misri.

  • Yeremia 36:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na Yeremia akachukua kitabu kingine cha kukunjwa, akampa Baruku mwana wa Neria, mwandishi,+ ambaye aliandika juu yake kutoka kinywani+ mwa Yeremia maneno yote ya kile kitabu ambacho Yehoyakimu mfalme wa Yuda alikuwa ameteketeza motoni;+ na maneno mengine mengi kama hayo yakaongezwa kwenye hayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki