2 Mambo ya Nyakati 36:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na yale mambo mengine+ ya Yehoyakimu na machukizo+ yake aliyoyatenda na mambo yaliyopatikana juu yake, tazama, yameandikwa katika Kitabu+ cha Wafalme wa Israeli na Yuda; na Yehoyakini+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.
8 Na yale mambo mengine+ ya Yehoyakimu na machukizo+ yake aliyoyatenda na mambo yaliyopatikana juu yake, tazama, yameandikwa katika Kitabu+ cha Wafalme wa Israeli na Yuda; na Yehoyakini+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.