2 Wafalme 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mwishowe Yehoyakimu akalala pamoja na mababu zake,+ na Yehoyakini mwana wake akaanza kutawala mahali pake. 1 Mambo ya Nyakati 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na wana wa Yehoyakimu walikuwa Yekonia+ mwana wake, Sedekia mwana wake. Yeremia 22:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “‘Kama ninavyoishi,’ asema Yehova, ‘hata kama Konia+ mwana wa Yehoyakimu,+ mfalme wa Yuda, angekuwa pete ya muhuri+ kwenye mkono wangu wa kuume, ningekung’oa wewe kutoka hapo!+
6 Mwishowe Yehoyakimu akalala pamoja na mababu zake,+ na Yehoyakini mwana wake akaanza kutawala mahali pake.
24 “‘Kama ninavyoishi,’ asema Yehova, ‘hata kama Konia+ mwana wa Yehoyakimu,+ mfalme wa Yuda, angekuwa pete ya muhuri+ kwenye mkono wangu wa kuume, ningekung’oa wewe kutoka hapo!+