- 
	                        
            
            Kumbukumbu la Torati 31:17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        17 Ndipo hasira yangu itakapowaka kwelikweli juu yao katika siku hiyo,+ nami hakika nitawaacha+ na kuuficha uso wangu mbali nao,+ nao watakuwa kitu cha kuteketezwa; na misiba mingi na taabu zitakuja juu yao,+ nao watalazimika kusema siku hiyo, ‘Je, misiba hii haikuja juu yetu kwa sababu Mungu wetu hayuko katikati yetu?’+ 
 
- 
                                        
- 
	                        
            
            Kumbukumbu la Torati 32:30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        Haingewezekana isipokuwa Mwamba wao awe amewauza+ Na Yehova awe amewatoa. 
 
-