Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Katika siku zake Nebukadneza+ mfalme wa Babiloni akapanda, na kwa hiyo Yehoyakimu akawa mtumishi+ wake kwa miaka mitatu. Hata hivyo, yeye aligeuka na kumwasi.

  • 2 Wafalme 25:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na ikawa kwamba katika mwaka wa tisa+ wa kuwa kwake mfalme, katika mwezi wa kumi,+ siku ya kumi ya mwezi huo, Nebukadneza+ mfalme wa Babiloni akaja,+ ndiyo, yeye pamoja na jeshi lake lote, juu ya Yerusalemu, akaanza kupiga kambi juu yake na kujenga juu yake ukuta wa kulizingira pande zote.+

  • 2 Wafalme 25:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na katika mwezi wa tano, siku ya saba ya mwezi huo, yaani, mwaka wa kumi na tisa+ wa Mfalme Nebukadneza mfalme wa Babiloni, Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi, mtumishi wa mfalme wa Babiloni, aliingia ndani ya Yerusalemu.+

  • Yeremia 39:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Katika mwaka wa tisa wa Sedekia mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kumi,+ Nebukadreza mfalme wa Babiloni na jeshi lake lote alikuja Yerusalemu na kuanza kulizingira.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki