Ezra 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini kwa sababu baba zetu walimkasirisha Mungu wa mbinguni,+ aliwatia mikononi mwa Mfalme Nebukadneza+ wa Babiloni, Mkaldayo, ambaye aliibomoa nyumba hii+ na kuwapeleka watu uhamishoni huko Babiloni.+
12 Lakini kwa sababu baba zetu walimkasirisha Mungu wa mbinguni,+ aliwatia mikononi mwa Mfalme Nebukadneza+ wa Babiloni, Mkaldayo, ambaye aliibomoa nyumba hii+ na kuwapeleka watu uhamishoni huko Babiloni.+