Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 21:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 kwa sababu walifanya yaliyokuwa mabaya machoni pangu nao waliendelea kunitia uchungu tangu siku ile mababu zao walipotoka Misri mpaka leo hii.’”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 kwa sababu wameniacha+ na kwenda kuifukizia moshi wa dhabihu miungu mingine,+ ili kunitia uchungu+ kwa matendo yote ya mikono yao,+ na ili ghadhabu+ yangu imwagike juu ya mahali hapa wala isizimwe.’”+

  • Nehemia 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Hata hivyo, wakakosa kutii,+ wakakuasi+ na kuzidi kutupa sheria yako nyuma ya migongo yao,+ wakawaua manabii wako mwenyewe,+ waliotoa ushahidi juu yao ili kuwarudisha kwako;+ nao wakaendelea kutenda matendo ya ukosefu mkubwa wa heshima.+

  • Isaya 59:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hapana, bali makosa yenu ndiyo mambo yanayosababisha mgawanyiko kati yenu na Mungu wenu,+ na dhambi zenu zimesababisha kufichwa kwa uso wake kutoka kwenu ili asisikie.+

  • Yeremia 5:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Manabii wenyewe kwa kweli wanatoa unabii kwa uwongo;+ nao makuhani wanakandamiza kulingana na nguvu zao.+ Na watu wangu wamependa mambo yawe hivyo;+ nanyi mtafanya nini mwisho wake?”+

  • Danieli 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 tumetenda dhambi,+ tumekosa, tumetenda kwa uovu na kuasi;+ nasi tumegeuka kando kutoka katika amri zako na kutoka katika maamuzi yako ya hukumu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki