Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Yehoyakini+ alikuwa na umri wa miaka kumi na minane alipoanza kutawala, naye akatawala miezi mitatu katika Yerusalemu.+ Na jina la mama yake lilikuwa Nehushta binti ya Elnathani wa Yerusalemu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yehoyakini+ alikuwa na umri wa miaka kumi na minane alipoanza kutawala, naye akatawala miezi mitatu+ na siku kumi katika Yerusalemu; naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+

  • Yeremia 22:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “‘Kama ninavyoishi,’ asema Yehova, ‘hata kama Konia+ mwana wa Yehoyakimu,+ mfalme wa Yuda, angekuwa pete ya muhuri+ kwenye mkono wangu wa kuume, ningekung’oa wewe kutoka hapo!+

  • Yeremia 27:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ambavyo Nebukadneza mfalme wa Babiloni hakuchukua alipompeleka uhamishoni Yekonia+ mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, kutoka Yerusalemu kwenda Babiloni, pamoja na watu wote wenye vyeo wa Yuda na Yerusalemu;+

  • Yeremia 28:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “‘Na Yekonia+ mwana wa Yehoyakimu,+ mfalme wa Yuda, pamoja na wahamishwa wote wa Yuda ambao wameenda Babiloni+ nitawarudisha tena mahali hapa,’ asema Yehova, ‘kwa maana nitaivunja nira+ ya mfalme wa Babiloni.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki