Zaburi 31:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nimesahaulika kama mtu ambaye amekufa na ambaye hayumo moyoni;+Nimekuwa kama chombo kilichoharibika;+ Yeremia 48:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “‘Juu ya paa zote za Moabu na katika viwanja vyake vya watu wote—vyote—kuna maombolezo;+ kwa maana nimemvunja Moabu kama tu chombo ambacho hakipendezi,’+ asema Yehova. Hosea 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Israeli watamezwa.+ Sasa watakuja kuwa kati ya mataifa,+ kama chombo ambacho hakipendezi.+
12 Nimesahaulika kama mtu ambaye amekufa na ambaye hayumo moyoni;+Nimekuwa kama chombo kilichoharibika;+
38 “‘Juu ya paa zote za Moabu na katika viwanja vyake vya watu wote—vyote—kuna maombolezo;+ kwa maana nimemvunja Moabu kama tu chombo ambacho hakipendezi,’+ asema Yehova.