Yeremia 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Je, mtu huyu Konia+ ni umbo tu lililodharauliwa, lililovunjwa vipande-vipande,+ au ni chombo ambacho hakipendezi?+ Kwa nini yeye na uzao wake ni lazima waangushwe chini na kutupwa katika nchi ambayo hawakuijua?’+ Hosea 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Israeli watamezwa.+ Sasa watakuja kuwa kati ya mataifa,+ kama chombo ambacho hakipendezi.+
28 Je, mtu huyu Konia+ ni umbo tu lililodharauliwa, lililovunjwa vipande-vipande,+ au ni chombo ambacho hakipendezi?+ Kwa nini yeye na uzao wake ni lazima waangushwe chini na kutupwa katika nchi ambayo hawakuijua?’+