2 Wafalme 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndivyo alivyompeleka Yehoyakini+ uhamishoni Babiloni;+ na mama+ ya mfalme na wake za mfalme na maofisa wake wa makao+ ya mfalme na watu wa kwanza kabisa wa nchi akawapeleka wakiwa watu waliohamishwa kutoka Yerusalemu mpaka Babiloni. 1 Mambo ya Nyakati 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na wana wa Yekonia akiwa mfungwa walikuwa Shealtieli+ mwana wake
15 Ndivyo alivyompeleka Yehoyakini+ uhamishoni Babiloni;+ na mama+ ya mfalme na wake za mfalme na maofisa wake wa makao+ ya mfalme na watu wa kwanza kabisa wa nchi akawapeleka wakiwa watu waliohamishwa kutoka Yerusalemu mpaka Babiloni.