4 Walipoamka asubuhi na mapema siku iliyofuata, tazama, Dagoni alikuwa ameanguka kifudifudi mbele ya sanduku la Yehova, huku kichwa cha Dagoni na mikono yake miwili ikiwa imekatwa, mpaka kwenye kizingiti.+ Ni sehemu yenye umbo la samaki peke yake ndiyo iliyoachwa ikiwa juu yake.