15 Ndivyo alivyompeleka Yehoyakini+ uhamishoni Babiloni;+ na mama+ ya mfalme na wake za mfalme na maofisa wake wa makao+ ya mfalme na watu wa kwanza kabisa wa nchi akawapeleka wakiwa watu waliohamishwa kutoka Yerusalemu mpaka Babiloni.
10 Na mwanzoni+ mwa mwaka Mfalme Nebukadneza akatuma watu,+ akamleta Babiloni+ pamoja na vyombo vyenye kutamanika vya nyumba ya Yehova.+ Tena akamfanya Sedekia+ ndugu ya baba yake kuwa mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu.+
20 ambavyo Nebukadneza mfalme wa Babiloni hakuchukua alipompeleka uhamishoni Yekonia+ mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, kutoka Yerusalemu kwenda Babiloni, pamoja na watu wote wenye vyeo wa Yuda na Yerusalemu;+
2 baada ya Yekonia+ mfalme na malkia+ na maofisa wa makao ya mfalme, wakuu wa Yuda na Yerusalemu,+ na mafundi na wajenzi wa maboma+ kwenda kutoka katika Yerusalemu.