Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Pia, katika siku za Artashasta, Bishlamu, Mithredathi, Tabeeli na wale wenzake walimwandikia Artashasta mfalme wa Uajemi, na maandishi ya barua hiyo yaliandikwa kwa herufi za Kiaramu na kutafsiriwa katika lugha ya Kiaramu.+

  • Ezra 4:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ikawa kwamba baada ya kusomwa kwa nakala ya barua rasmi ya Mfalme Artashasta mbele ya Rehumu+ na Shimshai+ mwandishi na wenzao,+ walifanya haraka kwenda Yerusalemu kwa Wayahudi na kuwakomesha kwa kutumia nguvu za silaha.+

  • Nehemia 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi ikawa kwamba, mara tu Sanbalati+ na Tobia+ na Waarabu+ na Waamoni+ na Waashdodi+ waliposikia kwamba kazi ya kurekebisha kuta za Yerusalemu imesonga mbele, kwa maana mashimo yalikuwa yameanza kuzibwa, wakakasirika sana.

  • Nehemia 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tena adui zetu wakazidi kusema: “Hawatajua+ wala hawataona mpaka tuwe tumeingia katikati yao, nasi tutawaua na kuikomesha kazi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki