Isaya 38:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kama barawai, teleka, ndivyo ninavyoendelea kulia;+Ninaendelea kulia kama njiwa.+ Macho yangu yametazama kwa udhaifu kileleni:+‘Ee Yehova, ninakandamizwa. Simama upande wangu.’+ Isaya 59:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tunaendelea kuugua, sisi sote, kama dubu; nasi tunaendelea kulia kwa huzuni kama njiwa.+ Tuliendelea kutumaini kupata haki,+ lakini hapakuwa na yoyote; kutumaini kupata wokovu, lakini umekaa mbali nasi.+ Nahumu 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na imeamuliwa; amefunuliwa; atachukuliwa,+ na vijakazi wake wataomboleza, kama sauti ya njiwa,+ wakipiga-piga mioyo yao.+
14 Kama barawai, teleka, ndivyo ninavyoendelea kulia;+Ninaendelea kulia kama njiwa.+ Macho yangu yametazama kwa udhaifu kileleni:+‘Ee Yehova, ninakandamizwa. Simama upande wangu.’+
11 Tunaendelea kuugua, sisi sote, kama dubu; nasi tunaendelea kulia kwa huzuni kama njiwa.+ Tuliendelea kutumaini kupata haki,+ lakini hapakuwa na yoyote; kutumaini kupata wokovu, lakini umekaa mbali nasi.+
7 Na imeamuliwa; amefunuliwa; atachukuliwa,+ na vijakazi wake wataomboleza, kama sauti ya njiwa,+ wakipiga-piga mioyo yao.+