Isaya 38:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kama barawai, teleka, ndivyo ninavyoendelea kulia;+Ninaendelea kulia kama njiwa.+ Macho yangu yametazama kwa udhaifu kileleni:+‘Ee Yehova, ninakandamizwa. Simama upande wangu.’+
14 Kama barawai, teleka, ndivyo ninavyoendelea kulia;+Ninaendelea kulia kama njiwa.+ Macho yangu yametazama kwa udhaifu kileleni:+‘Ee Yehova, ninakandamizwa. Simama upande wangu.’+