Zaburi 39:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na sasa, nimetumainia nini, Ee Yehova? Matarajio yangu yanakuelekea wewe.+ Zaburi 119:82 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 82 Macho yangu yamedhoofika kwa kutamani maneno yako,+Huku mimi nikisema: “Utanifariji wakati gani?”+
82 Macho yangu yamedhoofika kwa kutamani maneno yako,+Huku mimi nikisema: “Utanifariji wakati gani?”+