Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 59:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tunaendelea kuugua, sisi sote, kama dubu; nasi tunaendelea kulia kwa huzuni kama njiwa.+ Tuliendelea kutumaini kupata haki,+ lakini hapakuwa na yoyote; kutumaini kupata wokovu, lakini umekaa mbali nasi.+

  • Ezekieli 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na watu wao walioponyoka hakika wataponyoka+ na kuwa kama njiwa wa mabondeni juu ya milima,+ ambao wote wanaomboleza, kila mmoja katika kosa lake mwenyewe.

  • Nahumu 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na imeamuliwa; amefunuliwa; atachukuliwa,+ na vijakazi wake wataomboleza, kama sauti ya njiwa,+ wakipiga-piga mioyo yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki