11 Tunaendelea kuugua, sisi sote, kama dubu; nasi tunaendelea kulia kwa huzuni kama njiwa.+ Tuliendelea kutumaini kupata haki,+ lakini hapakuwa na yoyote; kutumaini kupata wokovu, lakini umekaa mbali nasi.+
16 Na watu wao walioponyoka hakika wataponyoka+ na kuwa kama njiwa wa mabondeni juu ya milima,+ ambao wote wanaomboleza, kila mmoja katika kosa lake mwenyewe.