Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ee Yehova Mungu wa Israeli, wewe ni mwadilifu,+ kwa maana tumebaki tukiwa watu walioponyoka, kama ilivyo leo hii. Tupo hapa mbele zako katika hatia yetu,+ kwa maana haiwezekani kusimama mbele zako kwa sababu ya jambo hili.”+

  • Isaya 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kama Yehova wa majeshi hangalituachia waokokaji wachache tu,+ tungalikuwa kama Sodoma, tungalifanana na Gomora.+

  • Isaya 37:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na wale watakaoponyoka wa nyumba ya Yuda, wale wanaobaki,+ hakika watatia mizizi kwenda chini na kuzaa matunda kwenda juu.+

  • Ezekieli 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “ ‘ “Na wakati hilo litakapotukia nitawaruhusu muwe na mabaki wale watakaouponyoka upanga kati ya mataifa, wakati mtakapotawanywa kati ya nchi mbalimbali.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki