15 Ee Yehova Mungu wa Israeli, wewe ni mwadilifu,+ kwa maana tumebaki tukiwa watu walioponyoka, kama ilivyo leo hii. Tupo hapa mbele zako katika hatia yetu,+ kwa maana haiwezekani kusimama mbele zako kwa sababu ya jambo hili.”+
8 “ ‘ “Na wakati hilo litakapotukia nitawaruhusu muwe na mabaki wale watakaouponyoka upanga kati ya mataifa, wakati mtakapotawanywa kati ya nchi mbalimbali.+