Isaya 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndiyo sababu katika eneo la nuru+ watamtukuza Yehova,+ katika visiwa vya bahari jina la Yehova,+ Mungu wa Israeli. Isaya 24:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na mwezi mpevu umefedheheka, na jua linaloangaza limeona aibu,+ kwa maana Yehova wa majeshi amekuwa mfalme+ katika Mlima Sayuni+ na katika Yerusalemu na mbele ya wanaume wake wazee kwa utukufu.+ Isaya 62:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nawe utakuwa taji la urembo mkononi mwa Yehova,+ na kilemba cha kifalme mkononi mwa Mungu wako.
15 Ndiyo sababu katika eneo la nuru+ watamtukuza Yehova,+ katika visiwa vya bahari jina la Yehova,+ Mungu wa Israeli.
23 Na mwezi mpevu umefedheheka, na jua linaloangaza limeona aibu,+ kwa maana Yehova wa majeshi amekuwa mfalme+ katika Mlima Sayuni+ na katika Yerusalemu na mbele ya wanaume wake wazee kwa utukufu.+