Zaburi 48:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wenye ukuu wa kupendeza, shangwe ya dunia yote,+Ni Mlima Sayuni ulioko sehemu za mbali za kaskazini,+Mji wa Mfalme Mkuu.+ Zaburi 50:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kutoka Sayuni, ukamilifu wa uzuri,+ Mungu mwenyewe ameangaza.+ Zekaria 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Na Yehova Mungu wao atawaokoa+ katika siku hiyo kama kundi la watu wake;+ kwa maana watakuwa kama mawe ya taji yanayong’aa juu ya nchi yake.+ 1 Wathesalonike 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana ni nini tumaini letu au shangwe au taji+ la furaha—je, kwa kweli si ninyi?—mbele ya Bwana wetu Yesu wakati wa kuwapo kwake?+
2 Wenye ukuu wa kupendeza, shangwe ya dunia yote,+Ni Mlima Sayuni ulioko sehemu za mbali za kaskazini,+Mji wa Mfalme Mkuu.+
16 “Na Yehova Mungu wao atawaokoa+ katika siku hiyo kama kundi la watu wake;+ kwa maana watakuwa kama mawe ya taji yanayong’aa juu ya nchi yake.+
19 Kwa maana ni nini tumaini letu au shangwe au taji+ la furaha—je, kwa kweli si ninyi?—mbele ya Bwana wetu Yesu wakati wa kuwapo kwake?+