6 Katika siku hiyo niliuinua mkono+ katika kiapo kwao ili kuwatoa katika nchi ya Misri mpaka katika nchi niliyokuwa nimeipeleleza kwa ajili yao, yenye kutiririka maziwa na asali.+ Hiyo ilikuwa ni pambo la nchi zote.+
9 Na katika moja ya hizo ikatoka pembe nyingine ndogo,+ nayo ikaendelea kuwa kubwa zaidi kuelekea upande wa kusini na kuelekea mashariki na kuelekea lile Pambo.+
41 Pia ataingia+ katika nchi ya lile Pambo,+ na kutakuwako nchi nyingi zitakazokwazwa.+ Lakini hizi ndizo zitakazoponyoka mkononi mwake, Edomu na Moabu+ na ile sehemu kuu ya wana wa Amoni.
45 Naye atasimamisha mahema yake makubwa kati ya ile bahari kuu na mlima mtakatifu wa lile Pambo;+ naye ataenda mpaka mwisho wake,+ wala hatakuwa na wa kumsaidia.+