Isaya 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na kutakuwa na njia kuu+ kutoka Ashuru kwa ajili ya mabaki+ ya watu wake watakaobaki,+ kama ilivyokuwapo njia kwa ajili ya Israeli siku ile alipokuwa akiondoka katika nchi ya Misri. Waroma 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi, kwa njia hiyo katika majira ya sasa kumetokea pia mabaki+ kulingana na kuchaguliwa+ ambako kunatokana na fadhili zisizostahiliwa.
16 Na kutakuwa na njia kuu+ kutoka Ashuru kwa ajili ya mabaki+ ya watu wake watakaobaki,+ kama ilivyokuwapo njia kwa ajili ya Israeli siku ile alipokuwa akiondoka katika nchi ya Misri.
5 Basi, kwa njia hiyo katika majira ya sasa kumetokea pia mabaki+ kulingana na kuchaguliwa+ ambako kunatokana na fadhili zisizostahiliwa.