Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na maiti yako itakuwa chakula kwa ajili ya kila kiumbe kinachoruka cha mbinguni na kwa mnyama wa porini, pasipo mtu yeyote wa kuwatetemesha.+

  • Zaburi 79:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wamewapa ndege wa mbinguni maiti ya watumishi wako iwe chakula chao,+

      Na nyama ya washikamanifu wako kwa wanyama-mwitu wa dunia.+

  • Yeremia 7:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na maiti za watu hawa zitakuwa chakula cha viumbe vinavyoruka vya mbinguni na cha wanyama wa dunia, pasipo mtu yeyote wa kuwatetemesha.+

  • Yeremia 16:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ‘Watakufa vifo vya magonjwa.+ Hawataombolezewa,+ wala hawatazikwa.+ Watakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi;+ nao watamalizwa kwa upanga na kwa njaa,+ na maiti zao kwa kweli zitakuwa chakula kwa viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kwa wanyama wa duniani.’+

  • Yeremia 34:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ndiyo, nitawatia mkononi mwa adui zao na mkononi mwa wale wanaoitafuta nafsi yao;+ na maiti zao zitakuwa chakula kwa viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kwa wanyama wa dunia.+

  • Ufunuo 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 ili mpate kula sehemu zenye nyama za wafalme na sehemu zenye nyama+ za viongozi wa kijeshi na sehemu zenye nyama za watu wenye nguvu+ na sehemu zenye nyama za farasi+ na za wale wanaoketi juu yao, na sehemu zenye nyama za wote, za watu huru na vilevile za watumwa na za wadogo na wakubwa.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki