Methali 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi watakula matunda ya njia yao,+ nao watashiba mashauri yao wenyewe.+ Yeremia 4:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Njia yako na matendo yako—wewe utalipwa hayo.+ Huu ndio msiba ulio juu yako, kwa maana ni mchungu; kwa sababu umefika mpaka moyoni mwako.”
18 “Njia yako na matendo yako—wewe utalipwa hayo.+ Huu ndio msiba ulio juu yako, kwa maana ni mchungu; kwa sababu umefika mpaka moyoni mwako.”