50 Yehova amesema hivi: “Basi, kiko wapi cheti cha talaka+ cha mama yenu, ambaye nilimfukuza?+ Au ni nani kati ya wakopeshaji wangu ambaye nimewauza ninyi kwake?+ Tazama! Mmeuzwa kwa sababu ya makosa+ yenu wenyewe, na mama yenu amefukuzwa kwa sababu ya makosa yenu wenyewe.+