Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 107:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wale waliokuwa wapumbavu, kwa sababu ya njia ya ukosaji wao+

      Na kwa sababu ya makosa yao, mwishowe walijiletea mateso wenyewe.+

  • Methali 1:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi watakula matunda ya njia yao,+ nao watashiba mashauri yao wenyewe.+

  • Methali 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Makosa yake mwenyewe yatamkamata mwovu,+ naye atashikwa katika kamba za dhambi yake mwenyewe.+

  • Isaya 50:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Yehova amesema hivi: “Basi, kiko wapi cheti cha talaka+ cha mama yenu, ambaye nilimfukuza?+ Au ni nani kati ya wakopeshaji wangu ambaye nimewauza ninyi kwake?+ Tazama! Mmeuzwa kwa sababu ya makosa+ yenu wenyewe, na mama yenu amefukuzwa kwa sababu ya makosa yenu wenyewe.+

  • Yeremia 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Je, hilo silo jambo ulilojifanyia mwenyewe kwa kumwacha Yehova Mungu+ wako wakati alipokuwa akikutembeza njiani?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki